-
Zaburi 69:11, 12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Wakati nilifanya magunia kuwa nguo zangu,
Nikakuwa kitu cha kuzarauliwa mbele yao.*
12 Nimekuwa mutu wa kusemwa-semwa na wale wenye kukaa katika mulango mukubwa wa muji,
Na walevi wanaimba juu yangu katika nyimbo zao.
-