-
Yobu 14:19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
19 Kama vile maji yanakula majiwe
Na maji yake mengi yanateremusha udongo wa dunia,
Ni vile umeharibu tumaini la mwanadamu mwenye anaweza kufa.
-
-
Yobu 19:10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 Amenibomoa kila upande mupaka niangamie;
Anangoa tumaini langu kama muti.
-