4 Sasa mumoja kati ya bibi za wana wa manabii+ akamulilia Elisha, na kusema: “Mutumishi wako bwana yangu amekufa, na unajua muzuri kwamba mutumishi wako alimuogopa Yehova sikuzote.+ Sasa mukopeshaji fulani amekuja kukamata watoto wangu wawili wakuwe watumwa wake.”