-
Zaburi 94:3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Waovu wataendelea mupaka wakati gani, Ee Yehova,
Waovu wataendelea kushangilia mupaka wakati gani?+
-
-
Mezali 30:20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Hii ndiyo njia ya mwanamuke muzinifu:
Anakula, anapangusa kinywa chake;
Kisha anasema, “Sikufanya kosa lolote.”+
-