Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Sababu gani ulizarau neno la Yehova kwa kutenda mambo ya mubaya mbele ya macho yake? Ulimupiga na kumuua Uria Muhiti kwa upanga!+ Kisha ukachukua bibi yake ili akuwe bibi yako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+

  • 2 Samweli 12:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Hata kama ulitenda kwa uficho,+ mimi nitafanya jambo hili mbele ya Israeli wote na wakati wa muchana.’”*

  • Zaburi 94:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Waovu wataendelea mupaka wakati gani, Ee Yehova,

      Waovu wataendelea kushangilia mupaka wakati gani?+

  • Zaburi 94:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Wanasema: “Yah haone;+

      Mungu wa Yakobo hatambue jambo hilo.”+

  • Mezali 30:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Hii ndiyo njia ya mwanamuke muzinifu:

      Anakula, anapangusa kinywa chake;

      Kisha anasema, “Sikufanya kosa lolote.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine