-
Muhubiri 8:12, 13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Hata kama muovu anaweza kutenda mabaya mara mia moja (100) na kuendelea kuishi wakati murefu, lakini ninajua kwamba mambo yatawaendea muzuri wale wenye kumuogopa Mungu wa kweli, kwa sababu wanamuogopa.+ 13 Lakini mambo hayatamuendea muzuri muovu,+ wala hatarefusha siku zake zenye ziko kama kivuli,+ kwa sababu hamuogope Mungu.
-