Rutu 4:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Sasa Boazi akapanda kuenda kwenye mulango mukubwa wa muji+ na kukaa pale. Na angalia! ule mukombozi mwenye Boazi alitaja+ alikuwa anapita. Basi Boazi akamuita: “Fulani wa fulani, kuja na ukae hapa.” Na akaenda na kukaa. Mezali 31:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Bwana yake anajulikana sana katika milango mikubwa ya muji,+Kwenye anakaa kati ya wazee wa inchi.
4 Sasa Boazi akapanda kuenda kwenye mulango mukubwa wa muji+ na kukaa pale. Na angalia! ule mukombozi mwenye Boazi alitaja+ alikuwa anapita. Basi Boazi akamuita: “Fulani wa fulani, kuja na ukae hapa.” Na akaenda na kukaa.