-
Mezali 21:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Kila mutu mwenye anafunga sikio lake ili asisikie kilio cha mutu wa hali ya chini
Yeye mwenyewe ataita naye hatajibiwa.+
-
-
Mezali 24:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Okoa wale wenye kupelekwa kwenye kifo,
Na uzuie wale wenye kuyumba-yumba wakienda kuchinjwa.+
-