5 Kwa maana wazima wanajua* kwamba watakufa,+ lakini wafu hawajue kitu chochote,+ wala hawana zawabu* tena, kwa sababu mambo yote yenye yanaweza kukumbukwa juu yao yamesahauliwa.+
10 Kila jambo lenye mukono wako unapata kufanya, ulifanye kwa nguvu zako zote, kwa sababu hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima katika Kaburi,*+ mahali unaenda.