Mwanzo 25:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Kisha Abrahamu akavuta pumuzi yake ya mwisho na akakufa katika uzee muzuri; alikuwa muzee na mwenye kutosheka, naye akakusanywa kwa watu wake.* 2 Wafalme 22:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Ndiyo sababu nitakukusanya pamoja na mababu zako,* na utalalishwa katika kaburi lako kwa amani, na macho yako hayataona musiba wote wenye nitaleta juu ya mahali hapa.’”’” Kisha wakamupelekea mufalme jibu hilo.
8 Kisha Abrahamu akavuta pumuzi yake ya mwisho na akakufa katika uzee muzuri; alikuwa muzee na mwenye kutosheka, naye akakusanywa kwa watu wake.*
20 Ndiyo sababu nitakukusanya pamoja na mababu zako,* na utalalishwa katika kaburi lako kwa amani, na macho yako hayataona musiba wote wenye nitaleta juu ya mahali hapa.’”’” Kisha wakamupelekea mufalme jibu hilo.