Zaburi 72:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Atakuwa kama mvua yenye kuanguka juu ya majani yenye yalikatwa,Kama matone ya mvua yenye kumwangilia dunia maji.+ Mezali 16:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Katika mwangaza wa uso wa mufalme kuko uzima;Kukubaliwa naye ni kama wingu la mvua wakati wa kipindi cha mvua ya mwisho.+
6 Atakuwa kama mvua yenye kuanguka juu ya majani yenye yalikatwa,Kama matone ya mvua yenye kumwangilia dunia maji.+
15 Katika mwangaza wa uso wa mufalme kuko uzima;Kukubaliwa naye ni kama wingu la mvua wakati wa kipindi cha mvua ya mwisho.+