-
Zaburi 69:12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Nimekuwa mutu wa kusemwa-semwa na wale wenye kukaa katika mulango mukubwa wa muji,
Na walevi wanaimba juu yangu katika nyimbo zao.
-
-
Maombolezo 3:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 Nimekuwa kitu cha kuchekwa kwa vikundi vyote vya watu, nimekuwa kichwa cha wimbo wao siku nzima.
-