Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 12:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Yehova akamujibu Musa: “Kama baba yake angemutemea mate moja kwa moja kwenye uso wake, je, hangepata haya kwa siku saba (7)? Acha awekwe mbali na watu inje ya kambi kwa siku saba,+ kisha anaweza kurudishwa ndani.”

  • Kumbukumbu la Torati 25:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 basi mujane wa ndugu yake atamukaribia mbele ya wazee, atatosha kiatu cha mwanaume huyo kwenye muguu wake,+ atamutemea mate katika uso wake, na kusema, ‘Ni vile anapaswa kutendewa mwanaume mwenye hatajenga nyumba ya ndugu yake.’

  • Isaya 50:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Nilipatia mugongo wangu wale wenye walikuwa wananipiga

      Na mashavu yangu wale wenye walingoa ndevu zangu.

      Sikuficha uso wangu kutokana na mambo yenye kufezehesha na kutokana na mate.+

  • Matayo 27:30
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 30 Wakamutemea mate+ na kukamata ule utete na kuanza kumupiga kwenye kichwa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine