-
Hesabu 12:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 Yehova akamujibu Musa: “Kama baba yake angemutemea mate moja kwa moja kwenye uso wake, je, hangepata haya kwa siku saba (7)? Acha awekwe mbali na watu inje ya kambi kwa siku saba,+ kisha anaweza kurudishwa ndani.”
-