Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 16:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Kisha akaitia jina la Yehova, mwenye alikuwa anazungumuza naye: “Wewe ni Mungu mwenye kuona,”+ kwa maana alisema: “Je, kweli nimemuona yeye mwenye kuniona?”

  • 2 Mambo ya Nyakati 16:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Kwa maana macho ya Yehova yanaenda huku na huku katika dunia yote+ ili kuonyesha nguvu zake* kwa ajili ya wale wenye moyo wao ni kamili* kumuelekea yeye.+ Umetenda kwa upumbavu katika jambo hili; kuanzia sasa kutakuwa vita juu yako.”+

  • Zaburi 139:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Unanichunguza* wakati ninasafiri na wakati ninalala;

      Unajua njia zangu zote.+

  • Mezali 5:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele ya macho ya Yehova;

      Anachunguza njia zake zote.+

  • Yeremia 32:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Wewe ni mukubwa katika shauri* na mwenye nguvu katika matendo,+ wewe mwenye macho yako yanachunguza njia zote za wanadamu,+ ili kumupatia kila mutu kulingana na njia zake na kulingana na mambo yenye anafanya.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine