10 Ole wao wale wenye wanatunga masharti yenye kuumiza+
Wenye kila wakati wanaandika amri za kukandamiza watu,
2 Ili kuima maskini haki zao za kisheria
Ili kunyanganya haki+ watu wa hali ya chini kati ya watu wangu,
Kuchukua vitu vya wajane,
Na kunyanganya+ vitu vya watoto wenye hawana baba!
3 Mutafanya nini katika siku ya kutoa hesabu,+
Wakati uharibifu utakuja kutoka mbali?+