Mezali 17:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Mutu yeyote mwenye kuchekelea maskini anatukana Mutengenezaji wake,+Na kila mutu mwenye anafurahia musiba wa mwingine hatakosa kupewa azabu.+ Mezali 24:17, 18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Wakati adui yako anaanguka, usishangilie,Na wakati anajikwaa, usiache moyo wako ufurahi;+18 Kama unafanya vile, Yehova ataona jambo hilo na hatafurahi,Naye ataondoa kasirani yake juu yake.*+
5 Mutu yeyote mwenye kuchekelea maskini anatukana Mutengenezaji wake,+Na kila mutu mwenye anafurahia musiba wa mwingine hatakosa kupewa azabu.+
17 Wakati adui yako anaanguka, usishangilie,Na wakati anajikwaa, usiache moyo wako ufurahi;+18 Kama unafanya vile, Yehova ataona jambo hilo na hatafurahi,Naye ataondoa kasirani yake juu yake.*+