-
Yobu 9:22-24Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Yote ni sawa. Ndiyo sababu ninasema,
‘Anaharibu wenye hawana kosa* na pia waovu.’
23 Kama mafuriko yanatokeza kifo cha kushitukia,
Atachekelea hali ya kupoteza tumaini ya watu wenye hawana kosa.
Kama haiko yeye, ni nani basi?
-
-
Yobu 34:9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Kwa maana amesema, ‘Mwanadamu hapate faida
Kwa kujaribu kumupendeza Mungu.’+
-
-
Zaburi 73:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Hakika nimesafisha moyo wangu bure
Na kunawa mikono yangu katika kukosa kuwa na hatia.+
-