Isaya 44:24 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 24 Yehova, Mukombozi wako+Mwenye alikufanya tangu wakati ulikuwa katika tumbo la uzazi, anasema hivi: “Mimi ni Yehova, mwenye aliumba kila kitu. Mimi mwenyewe nilitandika mbingu,+Na kutandika dunia.+ Ni nani alikuwa pamoja na mimi?
24 Yehova, Mukombozi wako+Mwenye alikufanya tangu wakati ulikuwa katika tumbo la uzazi, anasema hivi: “Mimi ni Yehova, mwenye aliumba kila kitu. Mimi mwenyewe nilitandika mbingu,+Na kutandika dunia.+ Ni nani alikuwa pamoja na mimi?