Zaburi 11:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Kwa maana Yehova ni mwenye haki;+ anapenda matendo yenye haki.+ Watu wanyoofu wataona uso wake.*+ Zaburi 71:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Haki yako, Ee Mungu, inafika kwenye nafasi za juu;+Umetenda mambo makubwa;Ee Mungu, ni nani mwenye kuwa kama wewe?+
19 Haki yako, Ee Mungu, inafika kwenye nafasi za juu;+Umetenda mambo makubwa;Ee Mungu, ni nani mwenye kuwa kama wewe?+