-
Yobu 2:1-3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Kisha siku ikafika yenye wana wa Mungu wa kweli*+ waliingia ili kusimama mbele ya Yehova,+ na Shetani pia akaingia kati yao ili kusimama mbele ya Yehova.+
2 Kisha Yehova akamuambia Shetani: “Unatoka wapi?” Shetani akamujibu Yehova: “Ninatoka kuzunguka-zunguka katika dunia na kutembea-tembea ndani yake.”+ 3 Na Yehova akamuambia Shetani: “Je, umemuona* mutumishi wangu Yobu? Hakuna mutu kama yeye juu ya dunia. Yeye ni mutu munyoofu na muaminifu-mushikamanifu,*+ mwenye kumuogopa Mungu na kuepuka mambo ya mubaya. Mupaka sasa angali anashika sana uaminifu-mushikamanifu wake,+ hata kama unajaribu kunichochea+ nimuharibu* pasipo sababu.”
-