-
Nehemia 9:33Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
33 Umekuwa mwenye haki katika mambo yote yenye yametupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu; lakini sisi ndio tumetenda kwa uovu.+
-
-
Zaburi 59:16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Lakini mimi, nitaimba kuhusu nguvu zako;+
Asubui nitatangaza kwa shangwe kuhusu upendo wako mushikamanifu.
-