-
Zaburi 34:1Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
34 Nitamusifu Yehova nyakati zote;
Sifa yake itakuwa kwenye midomo yangu kila wakati.
-
-
Zaburi 109:30Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
30 Kinywa changu kitamusifu Yehova kwa bidii;
Nitamusifu mbele ya watu wengi.+
-