19 Kisha wakati fulani watu wa Zifu wakapanda kuenda kwa Sauli kule Gibea+ na kusema: “Je, Daudi hajifiche karibu na sisi+ mahali kwenye kuwa pagumu kufika kule Horeshi,+ kwenye kilima cha Hakila,+ chenye kuwa upande wa kusini* wa Yeshimoni?*+
26Kisha wakati fulani watu wa Zifu+ wakakuja kwa Sauli kule Gibea,+ na kusema: “Je, Daudi hajifiche kwenye kilima cha Hakila chenye kinaangaliana na Yeshimoni?”*+