Zaburi 5:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Utaharibu wale wenye kusema uongo.+ Yehova anachukia watu wenye jeuri na wadanganyifu.*+ Mezali 10:27 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 27 Kumuogopa Yehova kunarefusha maisha,+Lakini miaka ya waovu itafupishwa.+