-
Luka 20:20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Na kisha kumuchunguza kwa uangalifu, wakatuma watu wenye walikuwa wamepatana nao kwa uficho ili kuwalipa, wajifanye kuwa ni wenye haki, ili wamunase katika maneno yake+ na kumutia katika mikono ya serikali na ya gavana.
-