1 Samweli 27:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 27 Lakini, Daudi akasema katika moyo wake: “Siku moja mukono wa Sauli utaniua. Jambo la muzuri sana kwangu ni kutorokea+ katika inchi ya Wafilisti; halafu Sauli ataacha kunitafuta katika eneo lote la Israeli,+ na nitaponyoka katika mukono wake.”
27 Lakini, Daudi akasema katika moyo wake: “Siku moja mukono wa Sauli utaniua. Jambo la muzuri sana kwangu ni kutorokea+ katika inchi ya Wafilisti; halafu Sauli ataacha kunitafuta katika eneo lote la Israeli,+ na nitaponyoka katika mukono wake.”