16 Wakati huo wale wenye kuogopa Yehova walizungumuza, mumoja na mwenzake, na Yehova aliendelea kuwa muangalifu na kusikiliza. Na kitabu cha kumbukumbu kikaandikwa mbele yake+ kwa ajili ya wale wenye kumuogopa Yehova na kufikiri sana juu ya jina lake.+