Hesabu 30:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Kama mwanaume anafanya naziri+ kwa Yehova ao anaapa kiapo+ cha kujifunga naziri ya kujiepusha na kitu fulani,* hapaswe kuvunja neno lake.+ Anapaswa kufanya kila jambo lenye aliapa kufanya.+ Muhubiri 5:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Kila mara wakati unaweka naziri kwa Mungu, usikawie kuitimiza,+ kwa maana hafurahie wajinga.+ Naziri yenye unaweka, uitimize.+
2 Kama mwanaume anafanya naziri+ kwa Yehova ao anaapa kiapo+ cha kujifunga naziri ya kujiepusha na kitu fulani,* hapaswe kuvunja neno lake.+ Anapaswa kufanya kila jambo lenye aliapa kufanya.+
4 Kila mara wakati unaweka naziri kwa Mungu, usikawie kuitimiza,+ kwa maana hafurahie wajinga.+ Naziri yenye unaweka, uitimize.+