2 Samweli 7:16, 17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Nyumba yako na ufalme wako vitakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitafanywa kuwa imara kabisa milele.”’”+ 17 Natani akamuambia Daudi maneno hayo yote na maono hayo yote.+ Zaburi 41:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Lakini mimi, unanitegemeza kwa sababu ya uaminifu-mushikamanifu wangu;+Utaniweka mbele yako milele.+
16 Nyumba yako na ufalme wako vitakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitafanywa kuwa imara kabisa milele.”’”+ 17 Natani akamuambia Daudi maneno hayo yote na maono hayo yote.+
12 Lakini mimi, unanitegemeza kwa sababu ya uaminifu-mushikamanifu wangu;+Utaniweka mbele yako milele.+