Zaburi 65:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 65 Sifa inakungojea, Ee Mungu, katika Sayuni;+Tutatimiza naziri zenye tumeweka kwako.+ Zaburi 66:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Nitaingia katika nyumba yako nikiwa na matoleo mazima ya kuteketezwa;+Nitatimiza naziri zenye niliweka kwako+ Muhubiri 5:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Kila mara wakati unaweka naziri kwa Mungu, usikawie kuitimiza,+ kwa maana hafurahie wajinga.+ Naziri yenye unaweka, uitimize.+
13 Nitaingia katika nyumba yako nikiwa na matoleo mazima ya kuteketezwa;+Nitatimiza naziri zenye niliweka kwako+ Muhubiri 5:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Kila mara wakati unaweka naziri kwa Mungu, usikawie kuitimiza,+ kwa maana hafurahie wajinga.+ Naziri yenye unaweka, uitimize.+
4 Kila mara wakati unaweka naziri kwa Mungu, usikawie kuitimiza,+ kwa maana hafurahie wajinga.+ Naziri yenye unaweka, uitimize.+