Zaburi 37:23, 24 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Yehova anaongoza* hatua za mutu+Wakati Yeye anafurahia njia ya mutu huyo.+ 24 Hata kama anaanguka, hatatupwa chini,+Kwa maana Yehova anamutegemeza kwa kumushika mukono.*+ 2 Wakorinto 4:8, 9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Tunakazwa katika kila njia, lakini hatubanwe mupaka tushindwe kutikisika; tunavurugika, lakini hatukose kabisa njia ya kutokea;*+ 9 tunateswa, lakini hatuachwe bila musaada;+ tunaangushwa chini, lakini hatuharibiwe.+
23 Yehova anaongoza* hatua za mutu+Wakati Yeye anafurahia njia ya mutu huyo.+ 24 Hata kama anaanguka, hatatupwa chini,+Kwa maana Yehova anamutegemeza kwa kumushika mukono.*+
8 Tunakazwa katika kila njia, lakini hatubanwe mupaka tushindwe kutikisika; tunavurugika, lakini hatukose kabisa njia ya kutokea;*+ 9 tunateswa, lakini hatuachwe bila musaada;+ tunaangushwa chini, lakini hatuharibiwe.+