Zaburi 36:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Upendo wako mushikamanifu ni wenye samani sana, Ee Mungu!+ Katika kivuli cha mabawa yako,wana wa binadamu wanakimbilia.+ Zaburi 86:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Lakini wewe, Ee Yehova, uko Mungu mwenye rehema na huruma,*Haukasirike haraka na uko mwenye upendo mwingi mushikamanifu na uaminifu.*+ Mika 7:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Ni Mungu gani mwenye kuwa kama wewe,Mwenye kusamehe makosa na mwenye haangalie makosa+ ya mabaki ya uriti wake?+ Hataendelea kuwa na kasirani milele,Kwa maana anafurahia upendo mushikamanifu.+
7 Upendo wako mushikamanifu ni wenye samani sana, Ee Mungu!+ Katika kivuli cha mabawa yako,wana wa binadamu wanakimbilia.+
15 Lakini wewe, Ee Yehova, uko Mungu mwenye rehema na huruma,*Haukasirike haraka na uko mwenye upendo mwingi mushikamanifu na uaminifu.*+
18 Ni Mungu gani mwenye kuwa kama wewe,Mwenye kusamehe makosa na mwenye haangalie makosa+ ya mabaki ya uriti wake?+ Hataendelea kuwa na kasirani milele,Kwa maana anafurahia upendo mushikamanifu.+