Kumbukumbu la Torati 10:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Ni Yeye unapaswa kusifu.+ Yeye ni Mungu wako, mwenye amekufanyia mambo haya makubwa na yenye kuogopesha sana yenye macho yako mwenyewe yameona.+ Ufunuo 15:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mutumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makubwa na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za haki na za kweli,+ Mufalme wa umilele.+
21 Ni Yeye unapaswa kusifu.+ Yeye ni Mungu wako, mwenye amekufanyia mambo haya makubwa na yenye kuogopesha sana yenye macho yako mwenyewe yameona.+
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mutumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makubwa na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za haki na za kweli,+ Mufalme wa umilele.+