14 Anaotesha majani kwa ajili ya ngombe
Na mimea ili wanadamu waitumie,+
Ili kukomalisha chakula juu ya udongo
15 Na divai yenye inafanya moyo wa mwanadamu ufurahi,+
Mafuta yenye inafanya uso ungae,
Na mukate wenye unategemeza moyo wa mwanadamu mwenye anaweza kufa.+