Isaya 30:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Na ataleta mvua kwa ajili ya mbegu zenye utapanda katika udongo,+ na mukate wenye udongo utatokeza utakuwa mwingi na wenye kujenga mwili.*+ Siku hiyo mifugo yako itakula majani katika malisho yenye nafasi kubwa.+
23 Na ataleta mvua kwa ajili ya mbegu zenye utapanda katika udongo,+ na mukate wenye udongo utatokeza utakuwa mwingi na wenye kujenga mwili.*+ Siku hiyo mifugo yako itakula majani katika malisho yenye nafasi kubwa.+