Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 14:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Mupumbavu* anasema katika moyo wake:

      “Hakuna Yehova.”+

      Matendo yao yamepotoka, na shuguli zao zinachukiza;

      Hakuna mwenye kutenda mema.+

       2 Lakini Yehova anaangalia wana wa binadamu akiwa mbinguni

      Ili aone kama kuko mutu yeyote mwenye kuwa na ufahamu, kama kuko mutu yeyote mwenye kumutafuta Yehova.+

  • Zaburi 53:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 53 Mupumbavu* anasema katika moyo wake:

      “Hakuna Yehova.”+

      Matendo yao yenye hayako ya haki yamepotoka na yanachukiza;

      Hakuna mwenye kutenda mema.+

  • Sefania 1:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Wakati huo nitatafuta-tafuta kabisa katika Yerusalemu kwa taa,

      Na nitaomba wale wenye hawajali* watoe hesabu, wale wenye kusema katika moyo wao,

      ‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine