Zaburi 14:1, 2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Mupumbavu* anasema katika moyo wake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao yamepotoka, na shuguli zao zinachukiza;Hakuna mwenye kutenda mema.+ 2 Lakini Yehova anaangalia wana wa binadamu akiwa mbinguniIli aone kama kuko mutu yeyote mwenye kuwa na ufahamu, kama kuko mutu yeyote mwenye kumutafuta Yehova.+ Zaburi 53:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 53 Mupumbavu* anasema katika moyo wake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao yenye hayako ya haki yamepotoka na yanachukiza;Hakuna mwenye kutenda mema.+ Sefania 1:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Wakati huo nitatafuta-tafuta kabisa katika Yerusalemu kwa taa,Na nitaomba wale wenye hawajali* watoe hesabu, wale wenye kusema katika moyo wao,‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+
14 Mupumbavu* anasema katika moyo wake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao yamepotoka, na shuguli zao zinachukiza;Hakuna mwenye kutenda mema.+ 2 Lakini Yehova anaangalia wana wa binadamu akiwa mbinguniIli aone kama kuko mutu yeyote mwenye kuwa na ufahamu, kama kuko mutu yeyote mwenye kumutafuta Yehova.+
53 Mupumbavu* anasema katika moyo wake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao yenye hayako ya haki yamepotoka na yanachukiza;Hakuna mwenye kutenda mema.+
12 Wakati huo nitatafuta-tafuta kabisa katika Yerusalemu kwa taa,Na nitaomba wale wenye hawajali* watoe hesabu, wale wenye kusema katika moyo wao,‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+