Isaya 26:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Ee Yehova, mukono wako umeinuliwa, lakini hawauone.+ Wataona bidii yako kwa ajili ya watu wako na watapatishwa haya. Ndiyo, moto wenye umetayarishwa kwa ajili ya wapinzani wako utawateketeza. Hosea 14:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Ni nani mwenye hekima? Aelewe mambo haya. Ni nani mwenye busara? Ayajue. Kwa maana njia za Yehova ni zenye kunyooka,+Na wenye haki watatembea ndani yake;Lakini wakosaji watajikwaa ndani yake.
11 Ee Yehova, mukono wako umeinuliwa, lakini hawauone.+ Wataona bidii yako kwa ajili ya watu wako na watapatishwa haya. Ndiyo, moto wenye umetayarishwa kwa ajili ya wapinzani wako utawateketeza.
9 Ni nani mwenye hekima? Aelewe mambo haya. Ni nani mwenye busara? Ayajue. Kwa maana njia za Yehova ni zenye kunyooka,+Na wenye haki watatembea ndani yake;Lakini wakosaji watajikwaa ndani yake.