11 “Sasa, mwana wangu, Yehova akuwe pamoja na wewe, na upate matokeo ya muzuri na ujenge nyumba ya Yehova Mungu wako, kama vile alisema juu yako.+ 12 Lakini tu, Yehova akupatie busara na uelewaji+ wakati atakupatia mamlaka juu ya Israeli, ili uweze kushika sheria ya Yehova Mungu wako.+