Zaburi 2:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Utawavunja kwa fimbo ya ufalme ya chuma,+Na utawavunja-vunja kama chombo cha udongo.”+ Zaburi 110:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 110 Yehova alimuambia Bwana wangu: “Kaa kwenye mukono wangu wa kuume+Mupaka niweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+
110 Yehova alimuambia Bwana wangu: “Kaa kwenye mukono wangu wa kuume+Mupaka niweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+