35 Jangwa na inchi yenye kukauka vitafurahi,+
Jangwa tambarare litashangilia na kutoa maua kama zafarani.+
2 Hakika litachanua maua+
Litashangilia na kupiga vigelegele vya shangwe.
Litapewa utukufu wa Lebanoni,+
Uzuri wa Karmeli+ na wa Sharoni.+
Wataona utukufu wa Yehova, uzuri wa Mungu wetu.