13 Na nikasikia kila kiumbe chenye kuwa mbinguni na duniani na chini ya dunia+ na katika bahari, na vitu vyote vyenye kuwa ndani ya hivyo, vikisema: “Kwa Ule mwenye kukaa juu ya kile kiti cha ufalme+ na kwa Mwana-Kondoo+ kukuwe baraka na heshima+ na utukufu na nguvu milele na milele.”+