26 ‘“Kama vile hakika niliona damu ya Naboti+ na damu ya wana wake jana,” ni vile Yehova anasema, “nitakulipa+ wewe katika shamba hilihili,” ni vile Yehova anasema.’ Basi sasa umuinue na umutupe katika shamba hili, kulingana na neno la Yehova.”+
23 basi usikie kutoka mbinguni na utende na uhukumu watumishi wako kwa kulipa muovu na kuleta mambo yenye alifanya juu ya kichwa chake mwenyewe+ na kwa kumutangaza mwenye haki kuwa hana kosa* na kwa kumupatia zawabu kulingana na haki yake.+