33 Mungu ameitimiza kabisa kwetu, sisi watoto wao, kwa kumufufua Yesu;+ kama vile imeandikwa katika zaburi ya pili: ‘Wewe ni mwana wangu; leo nimekuwa baba yako.’+
5 Kwa mufano, ni nani kati ya malaika mwenye Mungu amekwisha kuambia: “Wewe ni mwana wangu; leo mimi nimekuwa baba yako”?+ Na tena: “Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwana wangu”?+
5 Vilevile pia, Kristo hakujitukuza yeye mwenyewe+ kwa kuwa kuhani mukubwa, lakini alitukuzwa na Ule mwenye alimuambia: “Wewe ni mwana wangu; leo mimi nimekuwa baba yako.”+