Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:19, 20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Tafazali, samehe kosa la watu hawa kulingana na upendo wako mwingi mushikamanifu, kama vile umesamehe watu hawa kuanzia Misri mupaka sasa.”+

      20 Kisha Yehova akasema: “Ninawasamehe kama vile unasema.+

  • Yeremia 30:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 “Kwa maana mimi niko pamoja na wewe,” ni vile Yehova anasema, “ili nikuokoe.

      Lakini nitafanya uharibifu mukubwa kati ya mataifa yote kwenye nimekutawanya;+

      Hata hivyo, wewe sitakuharibu kabisa.+

      Nitakutia nizamu* kwa kiasi chenye kufaa,

      Na sitakuacha hata kidogo bila kukupatia azabu.”+

  • Maombolezo 3:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Ni kwa sababu ya upendo mushikamanifu wa Yehova ndiyo maana hatukuisha,+

      Kwa maana hakuna siku rehema zake zitafikia mwisho.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine