11 “Kwa maana mimi niko pamoja na wewe,” ni vile Yehova anasema, “ili nikuokoe.
Lakini nitafanya uharibifu mukubwa kati ya mataifa yote kwenye nimekutawanya;+
Hata hivyo, wewe sitakuharibu kabisa.+
Nitakutia nizamu kwa kiasi chenye kufaa,
Na sitakuacha hata kidogo bila kukupatia azabu.”+