1 Mambo ya Nyakati 16:35 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 35 Na museme, ‘Utuokoe, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Utukusanye na kutuokoa kutoka kwa mataifa,Ili tushukuru jina lako takatifu+Na tukusifu kwa shangwe.*+
35 Na museme, ‘Utuokoe, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Utukusanye na kutuokoa kutoka kwa mataifa,Ili tushukuru jina lako takatifu+Na tukusifu kwa shangwe.*+