Zaburi 34:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Mutu huyu wa hali ya chini aliita, na Yehova akasikia. Alimuokoa katika taabu zake zote.+ Isaya 66:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 “Mukono wangu mwenyewe umefanya vitu hivi vyote,Na vyote vilitokea hivi,” ni vile Yehova anasema.+ “Basi, nitamuangalia huyu,Mwenye kuwa munyenyekevu na mwenye kuvunjika katika roho na mwenye anatetemekea* neno langu.+
2 “Mukono wangu mwenyewe umefanya vitu hivi vyote,Na vyote vilitokea hivi,” ni vile Yehova anasema.+ “Basi, nitamuangalia huyu,Mwenye kuwa munyenyekevu na mwenye kuvunjika katika roho na mwenye anatetemekea* neno langu.+