Zaburi 72:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Yehova Mungu asifiwe, Mungu wa Israeli,+Mwenye peke yake anatenda mambo ya ajabu.+ Danieli 6:27 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 27 Anaokoa,+ anakomboa, na anafanya alama na maajabu mbinguni na duniani,+ kwa maana alimuokoa Danieli kutoka katika makucha ya simba.”
27 Anaokoa,+ anakomboa, na anafanya alama na maajabu mbinguni na duniani,+ kwa maana alimuokoa Danieli kutoka katika makucha ya simba.”