Kumbukumbu la Torati 6:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 “Sikiliza, Ee Israeli: Yehova Mungu wetu ni Yehova mumoja.+ Zaburi 83:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Wajue kwamba wewe, mwenye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Mwenye Kuwa Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+ Isaya 44:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Yehova,Mufalme wa Israeli+ na Mukombozi wake,+ Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu isipokuwa mimi.+ 1 Wakorinto 8:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Sasa kuhusu kula chakula chenye kilitolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu haiko kitu+ katika ulimwengu na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mumoja.+
18 Wajue kwamba wewe, mwenye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Mwenye Kuwa Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+
6 Yehova,Mufalme wa Israeli+ na Mukombozi wake,+ Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu isipokuwa mimi.+
4 Sasa kuhusu kula chakula chenye kilitolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu haiko kitu+ katika ulimwengu na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mumoja.+