Muhubiri 12:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Huu ndio mwisho wa jambo, mambo yote yamekwisha kusikiwa: Ogopa Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana hilo ndilo jambo lote lenye mwanadamu anapaswa kufanya.+ Yeremia 32:39 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 39 Na nitawapatia moyo mumoja+ na njia moja ili waniogope sikuzote, kwa faida yao wenyewe na kwa faida ya watoto wao kisha wao.+
13 Huu ndio mwisho wa jambo, mambo yote yamekwisha kusikiwa: Ogopa Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana hilo ndilo jambo lote lenye mwanadamu anapaswa kufanya.+
39 Na nitawapatia moyo mumoja+ na njia moja ili waniogope sikuzote, kwa faida yao wenyewe na kwa faida ya watoto wao kisha wao.+