16 Kwa maana mutu mwenye hekima kama vile mujinga, wote hawataendelea kukumbukwa.+ Katika siku zenye kuja, wote watasahauliwa. Na mutu mwenye hekima atakufa namna gani? Pamoja na mujinga.+
10 Na niliona waovu wakizikwa, watu wenye walizoea kuingia na kutoka mahali patakatifu, lakini walisahauliwa haraka katika muji kwenye walitenda vile.+ Jambo hili pia ni bure.*
5 Kwa maana wazima wanajua* kwamba watakufa,+ lakini wafu hawajue kitu chochote,+ wala hawana zawabu* tena, kwa sababu mambo yote yenye yanaweza kukumbukwa juu yao yamesahauliwa.+