Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Muhubiri 2:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Kwa maana mutu mwenye hekima kama vile mujinga, wote hawataendelea kukumbukwa.+ Katika siku zenye kuja, wote watasahauliwa. Na mutu mwenye hekima atakufa namna gani? Pamoja na mujinga.+

  • Muhubiri 8:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Na niliona waovu wakizikwa, watu wenye walizoea kuingia na kutoka mahali patakatifu, lakini walisahauliwa haraka katika muji kwenye walitenda vile.+ Jambo hili pia ni bure.*

  • Muhubiri 9:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Kwa maana wazima wanajua* kwamba watakufa,+ lakini wafu hawajue kitu chochote,+ wala hawana zawabu* tena, kwa sababu mambo yote yenye yanaweza kukumbukwa juu yao yamesahauliwa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine