Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 132:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Yehova amemuapia Daudi;

      Hakika hatakosa kutimiza neno lake:

      “Mumoja wa wazao wako,*

      Nitamutia kwenye kiti chako cha ufalme.+

  • Ezekieli 34:23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Na nitainua muchungaji mumoja juu yao,+ mutumishi wangu Daudi,+ na atawakulisha. Atawakulisha yeye mwenyewe na kuwa muchungaji wao.+

  • Hosea 3:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Kisha watu wa Israeli watarudia na kumutafuta Yehova Mungu wao+ na Daudi mufalme wao,+ na watakuja wakitetemeka kwa Yehova na kwa wema wake katika kipindi cha mwisho cha zile siku.+

  • Yohana 7:42
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 42 Je, andiko haliseme kwamba Kristo anakuja kutoka katika uzao wa Daudi+ na kutoka katika Betlehemu,+ kijiji kwenye Daudi alikuwa?”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine